Yanga kuingiza mashabiki bure kwa Mkapa J'Mosi
Klabu ya soka ya Yanga imetangaza kuwa hakutakuwa na kiingilio katika mchezo wao wa ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Silver Strikers ya Malawi mchezo utakaopigwa Oktoba 25 katika dimba la Benjamini Mkapa Dar es Salaam.

