Rais wa zamani Argentina ahukumiwa kwenda jela

Mahakama ya Juu ya Argentina imeidhinisha hukumu ya rais wa zamani Cristina Kirchner, kiongozi mashuhuri katika siasa za Argentina kwa miaka 20, kifungo cha miaka sita jela na kutostahiki maisha yake yote kwa udanganyifu wakati wa utawala wake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS