Asilimia 80 wataka maendeleo baada ya uchaguzi Aidan Eyakuze, Mkurugenzi TWAWEZA Asilimia 80 ya Watanzania wanasema baada ya uchaguzi kumalizika wanataka maendeleo na siyo siasa na kwamba, vyama vya upinzani vikubali kushindwa na visaidiane na serikali kuijenga nchi. Read more about Asilimia 80 wataka maendeleo baada ya uchaguzi