Tanzania yapanda nafasi 4 kwa uwekezaji duniani

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa REPOA, Dkt Lucas Katera (kulia) akizungumza na wanahabri jijini Dar es Salaam leo

Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika eneo la uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji ambapo kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Tanzania imepanda kwa nafasi nne ikishika nafasi ya 116 kati ya nchi 138 zilizofanyiwa utafiti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS