Serikali yakanusha kukwamisha kiwanda cha Dangote

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPBC)

Serikali kupitia, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuwa halijakwamisha uzalishaji wa saruji katika kiwanda cha Mfanyabiashara Mkubwa wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote kilichopo Mkoani Mtwara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS