Wazazi wataka adhabu ya viboko iendelee mashuleni
Baadhi ya wazazi wanafunzi katika shule za msingi na sekondari wilayani Kilwa mkoani Lindi wameunga mkono adhabu ya viboko iendelee mashuleni na kutoa wito wa sheria, kanuni na taratibu za utoaji wa adhabu hiyo zifuatwe.

