Serikali kuajiri walimu 35,000 mwakani

Selemani Jafo - Naibu Waziri TAMISEMI

Wakati wadau wakiishinikiza serikali kutoa ajira mpya za walimu, serikali imesema kuwa imepanga kuajiri walimu elfu thelathini na tano tu (35,000) katika mwaka ujao wa fedha wa 2017/2018

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS