Waziri Mkuu adai nyaraka za kuhamishwa faru John

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameugiza uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya  Ngorongoro (NCAA), kumpelekea nyaraka zote zilizotumika katika kumuhamisha faru maarufu kwa jina la John katika hifadhi hiyo ifikapo Desemba 8, 2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS