Trump agomea ndege mpya ili kubana matumizi

Air Force One - Ndege zinazotumiwa na Rais wa Marekani

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amesema anataka kupunguza matumizi ya serikali yake kwa kufuta zabuni ya kuagiza ndege mpya za kumsafirisha Rais wa Marekani maarufu kama Air Force One.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS