Bodi ya Pamba kuhamia mkoani Mwanza Novemba 10

Pamba

Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhamishia Bodi ya Pamba katika Mkoa wa Mwanza kabla ya Novemba 10 mwaka huu ili kuhakikisha wakulima wa pamba waliopo katika mkoa huo wanapata huduma zilizo bora kwa ukaribu na haraka

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS