Magufuli na Lungu watangaza mageuzi makubwa TAZARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Mgeni wake Rais wa Zambia Edgar Chagwa Lungu Ikulu jijini Dar es Salaam Novemba 28,2016 Rais Edga Lungu yupo nchini kwa ziara ya siku tatu (Bofya blog kwa habari na picha).

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema wamekubaliana na Rais wa Zambia Edgar Lungu katika kubadilisha sheria ya kumpata Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli la Tazara ili kusaidia kumpata mtendaji mwenye weledi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS