50% ya vifo vya wanawake husababishwa na saratani

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan (Kushoto) na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu (Katikati) wakiwa katika uzinduzi wa kampeni ya saratani

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi kuwa serikali imeweka mipango na mikakati thabiti ya kukabiliana na idadi kubwa ya vifo vinasababishwa na saratani  hasa saratani ya matiti na mlango wa kizazi kote nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS