Rais Magufuli amrudisha kundini Anne Kilango

Anne Kilango

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 21 Januari, 2017 amemteua Anne Kilango Malecela kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS