Rais Magufuli amrudisha kundini Anne Kilango Anne Kilango Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 21 Januari, 2017 amemteua Anne Kilango Malecela kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Read more about Rais Magufuli amrudisha kundini Anne Kilango