Jiji la Arusha laokoa shilingi milioni 364

Meya wa Jiji la Arusha - Calist Lazaro

Halmashauri ya Jiji la Arusha imeokoa zaidi ya shilingi  milioni 364 zilizokuwa zitumike kwa ajili ya kuwapa wakandarasi  kwa ajili ya kujenga madarasa badala yake kamati za shule kupewa jukumu la kusimamia ujenzi huo badala ya mkandarasi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS