Rufaa ya Ole Nangole yakwama mahakamani

Onesmo Ole Nangole

Mahakama ya Rufani Kanda ya Arusha leo imetupilia mbali rufani ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Longido Onesmo Ole Nangole (Chadema), baada ya kukiuka amri ya Mahakama hiyo iliyomtaka afanye marekebisho kwa kuandika upya rufani yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS