Zitto amkingia kifua Mbowe

Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Mjini ambaye pia ni Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amemkingia kifua Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kusema kuwa anaamini Mbunge huyo wa Hai hajawahi kujihusisha na dawa za kuleva kwa namna yoyote

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS