Waziri Nape 'avalia njuga' uhuru wa habari

Waziri Nape Nnauye

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amesema endapo atashindwa kusimamia uhuru wa habari na vyombo vya habari nchini atakuwa hafai kubaki kwenye nafasi hiyo kwa kuwa atakuwa ameshindwa majukumu yake katika nchi huru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS