Kikosi ya Yanga SC kikiwa katika mazoezi kujiandaa kuwavaa Mbao Fc
Kocha msaidizi wa Yanga SC, Juma Mwambusi amesema wapo tayari kuwavaa Mbao FC na wamewaomba mashabiki wa klabu hiyo waliopo Mwanza na mikoa ya jirani wafike kuwapa sapoti na kushuhudia mpira safi toka kwa vijana wao.