Mtoto wa Chacha Wangwe ahukumiwa

Rungu la sheria ya makosa ya mitandaoni leo limemuangukia mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu Tanzania Chacha Wangwe, Bob Chacha Wangwe, kwa kuhukumiwa kwenda jela mwaka mmoja na miezi sita au kulipa faini ya milioni 5.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS