Kubeza viwanda ni mtazamo finyu - Mhagama Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Joakim Mhagama amesema kuwa mapinduzi yoyote ya viwanda huanza na viwanda vidogo hivyo watu wasibeze dhana ya viwanda nchini. Read more about Kubeza viwanda ni mtazamo finyu - Mhagama