Kubeza viwanda ni mtazamo finyu - Mhagama

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Joakim Mhagama amesema kuwa mapinduzi yoyote ya viwanda huanza na viwanda vidogo hivyo watu wasibeze dhana ya viwanda nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS