Lema ashauri Waziri akapimwe mkojo

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameshauri Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba akapimwe mkojo kutokana na kuwa na wasi wasi na kauli zake ambazo amekuwa akitoa katika mikutano ya hadhara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS