Lema ashauri Waziri akapimwe mkojo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameshauri Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt. Mwigulu Nchemba akapimwe mkojo kutokana na kuwa na wasi wasi na kauli zake ambazo amekuwa akitoa katika mikutano ya hadhara. Read more about Lema ashauri Waziri akapimwe mkojo