Rais Magufuli aomba aombewe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wananchi wa mkoa wa Mwanza waendelee kumuombea katika sala zao wanazozifanya kwa kuwa kazi yake ni kubwa mno na inahitaji maombi ya hali ya juu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS