Sugu na mwenzake watupwa jela

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wamekutwa na hatia katika ya kesi inayowakabili na kuhukumiwa kwenda jela miezi mitano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS