VItuo vya kupigia kura vyaongezwa Jumla ya vituo 384 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Jimbo la Mwibara na Bunda katika kata kumi na tisa ili kurahisisha zoezi la upigaji kura ambapo kila kituo kimoja kitahudumia wananchi wasiozidi 450. Read more about VItuo vya kupigia kura vyaongezwa