Chanzo vifo vya ng'ombe 22 Shinyanga kuchunguzwa
Diwani wa Kata ya Ilola Kisena Fred ambaye amesema amesikitishwa na tukio hilo na ametaka uchunguzi wa kina ufanyike ili kubaini vifo vya mifugo hiyo ili kama ni ugonjwa hatua za haraka zichukuliwe kuudhibiti na kutoathiri mifugo ya wananchi wengine.

