Kesi ya jengo kuporomoka Kariakoo yaahirishwa tena

Shauri la kesi ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo, linalosikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu limeahirishwa hadi Disemba 30 baada ya Upande wa Jamhuri kushindwa kuwasomea washitakiwa maelezo ya mashahidi na vielelezo baada ya kubainika kuwa baadhi ya nyaraka hazipo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS