Spika Ndugai ataja cheo chake kingine

Spika wa  Bunge la Tanzania, Job Ndugai katika hali ya utani leo bungeni  amewataka wabunge wake kutambuana kwa vyeo tofauti na vile vya uwakilishi wa wananchi katika jumba hilo ambapo amesema yeye ni Mzee wa Kanisa lakini hawamtambui.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS