Mwenyekiti wa CHADEMA ashambuliwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwikatsi wilayani Babati mkoani Manyara, Simon Lala (CHADEMA) ameshambuliwa na watu wasiojulikana waliomjeruhi kwa mishale na mapanga kwa kile kilichodaiwa kuwa ni mgogoro wa ardhi. Read more about Mwenyekiti wa CHADEMA ashambuliwa