BASATA yafungukia kuhusu malipo ya wasanii

Katibu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limefunguka na kutolea ufafanuzi kanuni zake mpya walizozifanya hivi karibuni kuwa sio kweli kwamba msanii anatakiwa kulipa milioni 5 akifanya tangazo bali kampuni husika ndio inapaswa
kufanya hivyo kwa kuwa wanaingiza kipato kikubwa kutumia tangazo hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS