Hatimaye mwili wa Patrick wawasili Dar es salaam

Picha ya jeneza lililohifadhi mwili wa mtoto Patrick Peter.

Mwili wa mtoto wa muigizaji wa filamu nchini, Muna love, Patrick Peter, umewasili nchini leo saa 11:45 jioni na kupelekwa hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya kuhifadhiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS