Takukuru sasa kutinga mikutano ya serikali

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika.

Idara na taasisi za serikali zimeagizwa kuialika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwenye mikutano yao ili itoe mada kuhusu elimu ya masuala ya rushwa, lengo likiwa ni kupunguza na kuondoa rushwa kwa watumishi wa Umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS