''Tunauzoefu na uwanja wa taifa'' - Team Kiza

Wachezaji wa Team kiza waliovaa jezi za blue kwenye mechi yao ya 16 bora dhidi ya Ukonga Warriors waliovaa nyeupe.

Timu ya mpira wa Kikapu ya Team Kiza, wameipongeza kamati ya maandalizi ya michuano ya Sprite Bball Kings kwa kuipeleka michezo ya robo fainali kwenye uwanja wa ndani wa taifa kwani ndio uwanja ambao wanauzoefu nao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS