Miili 100 yapatikana maporomoko ya ardhi Sudan Maafa hayo yalitokea Agosti 31 kufuatia mvua kubwa iliyonyesha siku kadhaa. Umoja wa Mataifa unasema ukubwa kamili wa mkasa huo bado haujajulikana, kwani eneo hilo ni gumu sana kufikiwa. Read more about Miili 100 yapatikana maporomoko ya ardhi Sudan