Fahamu kwanini hutakiwi kutafuta mpenzi mtandaoni
Katika miaka ya hivi karibuni, mahusiano ya watu yamerahisishwa kutokana na mitandao ya kijamii, watu huwasiliana kutoka sehemu mbalimbali. Mtu aliyeko Tanzania anaweza kuwasiliana moja kwa moja na aliyeko Marekani, Uingereza na kokote duniani.