Makocha watano walioshinda mechi nyingi kwenye NBA

Kocha wa San Antonio Spurs, Gregg Popovich.

Kocha wa timu ya Kikapu ya San Antonio Spurs, Gregg Popovich ameingia kwenye rekodi za ligi ya kikapu nchini Marekani, baada ya kuwa kocha wa nne kati ya watano walioshinda mechi nyingi zaidi katika ligi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS