"Sijaridhika, nimewaita Mawaziri" - Waziri Mkuu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameamua kuitisha kikao cha Mawaziri wote na makatibu wakuu wote kesho (Ijumaa) saa 5 asubuhi ili waeleze kazi hiyo ya ujenzi wa majengo ya serikali itakamilishwa lini. Read more about "Sijaridhika, nimewaita Mawaziri" - Waziri Mkuu