KMC wasema sio Azam FC pekee

Wachezaji wa KMC kushoto na Azam FC kulia.

Kuelekea pambano la ligi kuu soka Tanzania bara, kati ya timu mbili za Dar es salaam, KMC na Azam FC, Jumatatu ijayo, KMC wamesema wapinzani wao sio Azam FC pekee kama ambavyo imekuwa ikionekana wakati wa mechi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS