JKT Tanzania wakoshwa na uteuzi wa Rais Magufuli

Kushoto ni wachezaji wa JKT Tanzania na kulia ni Rais Magufuli

Klabu ya soka ya JKT Tanzania inayoshiriki ligi kuu soka Tanzania Bara, imeeleza kufurahishwa na uteuzi wa Rais Magufuli ambaye jana Desemba 7, 2018 alimteua Meja Jenerali Mstaafu Michael Isamuhyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS