Mtoto shabiki wa Messi atoroka nyumbani Murtaza Ahmadi akiwa na Lionel Messi Mtoto Murtaza Ahmadi raia wa Afghanistan ambaye alijipatia umaarufu duniani kote kutokana na ushabiki wake kwa nyota wa Barcelona Lionel Messi, ametoroka nyumbani kutokana na vitisho vya kundi la Taliban. Read more about Mtoto shabiki wa Messi atoroka nyumbani