Mkuu wa mkoa awakomalia RPC Pwani na Morogoro

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani (katikati) aliyevaa Glovu.

Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema kuwa amethibitishiwa na makamanda wa polisi wa mikoa ya Pwani na Morogoro pamoja na kamanda wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuwa wizi wa vifaa kwenye ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) wataudhibiti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS