Mkuu wa mkoa awakomalia RPC Pwani na Morogoro
Mkuu wa mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema kuwa amethibitishiwa na makamanda wa polisi wa mikoa ya Pwani na Morogoro pamoja na kamanda wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuwa wizi wa vifaa kwenye ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) wataudhibiti.