Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro aongoza wapiga kura

Mhe, Nurdin Hassan Babu

Mkuu wa Kilimanjaro Mhe, Nurdin Hassan Babu ameongoza wananchi wa mkoa huo kuanza zoezi la kupiga kura katika kituo cha Kilimanjaro kikiwa ni miongoni mwa vituo 1153 kwa mkoa mzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS