Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro aongoza wapiga kura Mhe, Nurdin Hassan Babu Mkuu wa Kilimanjaro Mhe, Nurdin Hassan Babu ameongoza wananchi wa mkoa huo kuanza zoezi la kupiga kura katika kituo cha Kilimanjaro kikiwa ni miongoni mwa vituo 1153 kwa mkoa mzima. Read more about Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro aongoza wapiga kura