DIG Kenya ajiuzulu kisa sakata la Albert Ojwang
Naibu Inspekta Generali (DIG) wa Huduma ya Polisi ya Kenya, Eliud Kipkoech Lagat, ametangaza rasmi kujiondoa katika nafasi yake wakati uchunguzi ukiendelea kuhusiana na kifo chenye utata cha blogger Albert Ojwang