Askofu Kakobe aikana CHADEMA
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe amesema hajawahi kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa nchini, bali amekuwa akishiriki shughuli za vyama hivyo kutokana kupewa mialiko kufika kama mtumishi wa kiroho.

