Askofu Kakobe aikana CHADEMA

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zacharia Kakobe amesema hajawahi kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa nchini, bali amekuwa akishiriki shughuli za vyama hivyo kutokana kupewa mialiko kufika kama mtumishi wa kiroho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS