Batshuayi, mzururaji mpya Ulaya, chanzo hiki hapa

Michy Batshuayi

Kwa mujibu wa ripoti ya kiutafiti ya Septemba 2018 ya mtandao wa Sportskeeda, Chelsea imeongoza kuwa ni klabu pekee barani Ulaya iliyokuwa na wachezaji wengi waliowatoa kwa mkopo vilabu mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS