Patrick Aussems ajitetea na kipigo cha Al Ahly
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Patrick Aussems ametolea maelezo juu ya kipigo cha pili ilichokipata timu yake kutoka kwa Al Ahly ya nchini Misri, Jumamosi iliyopita pamoja na mikakati yake kama kocha katika michezo iliyobaki.

