Alama tatu za Simba zawashusha wawili

Wachezaji wa Simba wakishangilia moja ya mabao katika mchezo wa leo.

Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mwadui FC, katika mchezo wa ligi kuu ambao umemalizika usiku huu kwenye uwanja wa taifa Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS