Manara autaja mwezi atakaoacha kazi Simba

Haji Manara

Baada ya kusambaa kwa tetesi nyingi kuwa Afisa Habari wa Simba, Haji Manara yuko mbioni kutemwa katika nafasi yake, mwenyewe ameibuka na kueleza kinagaubaga kuhusiana na taarifa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS