Manara autaja mwezi atakaoacha kazi Simba Haji Manara Baada ya kusambaa kwa tetesi nyingi kuwa Afisa Habari wa Simba, Haji Manara yuko mbioni kutemwa katika nafasi yake, mwenyewe ameibuka na kueleza kinagaubaga kuhusiana na taarifa hizo. Read more about Manara autaja mwezi atakaoacha kazi Simba