"Trezeguet" apigwa faini kwa kukosa penati

Mahmoud Hassan - maarufu kama "Trezeguet"

Mshambuliaji mpya wa Al Ahly ya Misri, Mahmoud Hassan maarufu kama Trezeguet, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukosa mkwaju wa penalti katika mchezo wao dhidi ya Inter Miami katika michuano ya Kombe la Dunia la Kilabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS