Dk.Hussein Mwinyi akitimiza haki yake Kikatiba

Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, leo Jumatano, Oktoba 29, 2025, amejitokeza kupiga kura katika Kituo cha Kariakoo, Jimbo la Kwahani, Unguja, akitimiza haki yake ya msingi ya kikatiba kama raia wa Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS