"Trezeguet" apigwa faini kwa kukosa penati
Mshambuliaji mpya wa Al Ahly ya Misri, Mahmoud Hassan maarufu kama Trezeguet, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukosa mkwaju wa penalti katika mchezo wao dhidi ya Inter Miami katika michuano ya Kombe la Dunia la Kilabu.