Polisi kuchunguza chanzo mlipuko ulioua Bagamoyo "waliofariki katika mlipuko huo ni Dotto Mrisho (24) na Said Ramadhani (53) aliyejeruhiwa ni Hassan Omary mkazi wa Sanzale, Bagamoyo" Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Pwani Salim Morcase. Read more about Polisi kuchunguza chanzo mlipuko ulioua Bagamoyo