Wasimamizi zingatieni sheria mpya
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ( INEC ) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele amewataka waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia yale waliyojifunza kuhusu sheria mpya za uchaguzi, hasa kwa wale walioomba kupiga kura moja ya Rais katika maeneo ya magereza na kuzing