Iran na Israel waendelea kupambana

Mashambulizi ya anga kati ya Israel na Iran yameingia siku ya tano, huku idadi ya vifo ikiongezeka, watu wanakimbia makazi yao, na diplomasia ikivurugika hali inayochochea hofu ya kuzuka kwa vita vya kikanda kwa kasi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS