Wawekezaji warudisha vitalu, Serikali yaeleza

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ametoa sababu zilizopelekea vitalu vingi vya uwindaji wa wanyamapori nchini kukosa wawekezaji na hata baadhi ya wawekezaji waliokuwa wanamiliki baadhi ya vitalu hivyo kulazimika kuvirudisha Serikalini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS